Kutana na timu ya madaktari waliobobea katika tiba asilia za uzazi.

tunaamini kuwa mwili wa binadamu umeumbwa kupona kwa kutumia nguvu za asili. Ndiyo maana hatutumii kemikali au dawa za kisasa zenye madhara.

Kwa uzoefu wa miaka mingi, tumewasaidia wanawake na wanaume wengi kufanikisha ndoto yao ya kuwa wazazi.

Kuhusu Uzazi

Tiba za Uhakika Asili za Afya ya Uzazi

Suluhisho la kweli kwa wanawake na wanaume wanaotafuta tiba salama, asili, na zenye matokeo ya Haraka zaidi.


Huduma zetu

Tiba Bobezi za Asili.

Tiba zetu zinahusisha:

Mimea ya Asili iliyochaguliwa kwa uangalifu
Lishe na virutubisho vya asili vinavyoongeza rutuba
Elimu ya mzunguko wa hedhi & ovulation
Ushauri wa afya binafsi unaolenga mzizi wa tatizo

✅ Kurejea kwa mzunguko wa hedhi wa kawaida
✅ Kuimarika kwa mayai na mazingira ya uzazi
✅ Kuongezeka kwa nafasi ya kushika mimba haraka
✅ Kuondoa vizuizi vya uzazi kwa njia ya asili

✅ Kuongezeka kwa uzalishaji wa mbegu zenye afya
✅ Kuimarika kwa nguvu za tendo la ndoa
✅ Kurejesha urijalii na furaha ya ndoa
✅ Kuongeza nafasi ya mpenzi kushika mimba haraka

✅ Hakuna madhara ya kemikali wala upasuaji
✅ Hurejesha uwezo wa kushika mimba kwa njia ya kawaida
✅ Imetolewa na wataalamu wenye uzoefu wa miaka mingi
✅ Imefanikiwa kwa wanawake wengi waliokuwa wamekata tamaa
JE! UNAHITAJI MSAADA WA DAKITARI?

Piga Simu Kupata msaada wa Haraka

            0711 556 377

Onja nguvu ya Asili

Pata Huduma Fanisi

“Ni wa kati wa kupata Tiba hizi hazina kemikali wala madhara ya baadaye – ni tiba za asili zenye matokeo ya Haraka kwa afya a uzazi kwa wanawake na kwa wanaume.”

Zaidi ya wanawake 700 Wamefanikiwa kupata ujauzito kwa njia ya asili, Kupitia Matibabu Rahisi yasiyotumia kemikali.

Tunajivunia kuwa na timu ya madaktari na wataalamu wa afya waliobobea katika tiba asilia na afya ya uzazi

Ndani ya wiki chache, wengi huanza kuona mabadiliko chanya. Utapata Matumaini mapya Bila kupoteza Muda

Wataalamu Wetu

Watoa huduma

Kutana na wataalamu waliobobea katika afya ya uzazi na tiba asilia. Wana uzoefu wa miaka mingi katika kusaidia wanawake na wanaume kutatua changamoto mbalimbali za uzazi kwa njia salama na asilia

Uzazi kwa Wanawake

Magonjwa Sugu

Uzazi Kwa Wanaume

Wateja Wetu

Shuhuda za Wateja

Baadhi ya kushuhu mabadiliko makubwa katika maisha ya wanawake na wanaume waliokuwa na changamoto za uzazi. Hizi ni baadhi ya simulizi halisi kutoka kwa wateja wetu waliopata matokeo ya haraka na ya kudumu kupitia tiba zetu asilia:

“Nilikuwa na shida ya mirija kuziba kwa miaka 3. Nilijaribu kila njia bila mafanikio. Nilipoanza tiba ya mimea kutoka Afya Maridhawa, ndani ya miezi miwili nilishika mimba! Namshukuru Mungu na timu yote kwa kunisaidia.”

“Nilikuwa na tatizo la mbegu dhaifu. Niliona aibu sana, lakini nilipopata ushauri na tiba ya asili hapa, hali yangu ilibadilika. Leo ninafurahia kuwa baba wa mtoto wa kwanza baada ya miaka mitano ya kusubiri.”

“Nilipata mimba tatu zilizoharibika mfululizo. Nilipoanza tiba ya kusafisha kizazi na kurekebisha homoni, nilifanikiwa kushika mimba salama hadi kujifungua. Huduma ni ya kipekee na yenye ufuatiliaji wa karibu sana.”