+255711556377
contact@domain.com
Make An Appointment
About
Home » About

About Us

Tiba za Uhakika Asili za Afya ya Uzazi

Suluhisho la kweli kwa wanawake na wanaume wanaotafuta tiba salama, asili, na zenye matokeo ya Haraka zaidi.
Picture1

✅ Tiba salama na za asili 100%
✅ Ufuatiliaji wa karibu kwa kila mgonjwa Hatua kwa Hatua
✅ Ushauri wa kiafya na kisaikolojia.
✅ Utambuzi wa kiini cha tatizo, si dalili tu
✅ Matumizi ya Dawa zilizothibitishwa kwa matokeo ya haraka

Know More

Mpango wa Gharama

Mpango wa Gharama za Huduma

Huduma zetu zimetengenezwa kwa kuzingatia mahitaji halisi ya wateja wetu – kutoka kwa wanaotafuta ushauri wa awali, hadi wanaohitaji tiba kamili.

Ushauri wa Awali

TSh 10,000

  • Dakika 15 hadi 30 (Ana kwa ana au simu)
  • Kutathmini hali yako ya kiafya
  • Kujua aina ya tiba inayofaa kwak
  • Mapendekezo ya hatua za awali
Chagua Mpango
Popular

Tiba Kamili ya Uzazi 
kwa Wanawake

TSHS 230,000 – 360,000

  • Dawa ya wiki 4 hadi 6 + Ufuatiliaji
  • Tiba ya kuzibua mirija
  • Kusafisha kizazi
  • Mafunzo ya kufuatilia ovulation
  • Kuimarisha mayai na mzunguko wa hedhi
Chagua mpango

Tiba ya Mbegu na Nguvu kwa Mwanaume

TSHS 80,000–160,000

  • Dawa + Lishe + Ushauri wa afya ya uzazi
  • Kuongeza mbegu & nguvu za kiume
  • Kurekebisha homoni Za kiume
  • Mbinu Kupunguza msongo wa mawazo
Chagua mpango

Wahudumu Wetu

Watoa Huduma

DR LUTAMBI
Dr.Johnson Melbourne

Prosthodontics

Untitled design
Dr.David James

Consultant

Untitled design (1)
Dr. Ena Dicrosa

Gastroenterologists

Wateja Wetu

Shuhuda za Wateja

“Nilikuwa na shida ya mirija kuziba kwa miaka 3. Nilijaribu kila njia bila mafanikio. Nilipoanza tiba ya mimea kutoka Afya Maridhawa, ndani ya miezi miwili nilishika mimba! Namshukuru Mungu na timu yote kwa kunisaidia.”

Picture10.
Amina Dar es Salaam

“Nilikuwa na tatizo la mbegu dhaifu. Niliona aibu sana, lakini nilipopata ushauri na tiba ya asili hapa, hali yangu ilibadilika. Leo ninafurahia kuwa baba wa mtoto wa kwanza baada ya miaka mitano ya kusubiri.”

Picture12.
John Arusha

“Nilipata mimba tatu zilizoharibika mfululizo. Nilipoanza tiba ya kusafisha kizazi na kurekebisha homoni, nilifanikiwa kushika mimba salama hadi kujifungua. Huduma ni ya kipekee na yenye ufuatiliaji wa karibu sana.”

Picture11.
Rehema Mbeya